HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 27, 2013

REDD'S MISS TEMEKE 2013 MAMBO YAANZA KUNOGA

Vimwana wa Redd's Miss Temeke 2013,wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa kutangaza kuanza kwa kambi yao pamoja na Mazoezi katika Ukumbu wa TCC,Chang'ombe jijini Dar.Shindano la Redd's Miss Temeke 2013,linatarajiwa kufanyika Julai 5,2013 kwenye Ukumbi wa TCC,Chang'ombe jijini Dar es Salaam.Jumla ya Warembo 15 watachuana siku hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad