HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 4, 2013

Jeshi la Misri lamuondoa madarakari Rais wa nchi hiyo usiku huu

Waziri wa Ulinzi nchini Misri,Abdelfatah al-Sissi akizungumza na vyombo vya habari muda mfupi uliopita kuhusiana na uamuzi Jeshi wa kumuondoa Madarakani Rais wa Nchi hiyo ya Misri,Mohamed Morsi baada ya kushindwa kumaliza mgogoro uliokuwa ukiendelea nchini humo.
Rais wa Misri,Mohamed Morsi ambaye ameondolewa madarakani usiku huu.
Huko mitaani ni shangwe kwa kwenda mbele baada ya kupokea taarifa ya kuwa Rais wa nchi hiyo hana mamlaka tena ya kuingoza.Sasa hivi nchi iko chini ya Uongozi wa Jaji Mkuu wa nchi hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad