Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangaraka (kulia) akipokea Ufunguo wa mfano kutoka kwa Balazo wa China hapa nchini Balozi Lu Youging kuashiria kukabidhiwa rasmi kwa Uwanja wa Taifa.
Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella
Mukangara (Kulia) akishuhudia Balazo wa China hapa nchini Balozi Lu
Youging akiweka sahihi katika hati ya makabidhiano ya Uwanja wa
Taifa.Hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es Salaam.
Kaimu
katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi
Sihaba Nkinga(Kushoto) akitia sahihi katika hati ya makabidhiano ya
uwanja wa Taifa,kulia ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi Habib
Mkwizu.
Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella
Mukangara (Katikati) akishuhudia Balazo wa China hapa nchini Balozi Lu
Youging akibadilishana hati ya makabidhiano ya Uwanja wa Taifa na Kaimu
katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Sihaba
Nkinga (Kulia).
Kaimu
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Utumishi Habib Mkwizu (Kushoto) akifafanua
jambo kwa baadhi ya viongozi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo mara baada ya sherehe ya makabidhiano ya Uwanja kukamalizika.
Mkurugenzi
wa Idara ya Habari kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Assah Mwambene (Kulia) akizungumza akibadilishana mawazo na
Katibu Mtendaji wa TFF Angetile Oseah walipokutana katika sherehe za
makabidhiano ya Uwanja wa Taifa jana jijini Dar es Salaam.PICHA ZOTE NA FRANK SHIJA - MAELEZO.
No comments:
Post a Comment