HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 3, 2013

Twanga Pepeta na Ben Paul kusindikiza Redd's Miss Temeke 2013

Mratibu wa shindano la Redd’s Miss Temeke Beny Kisaka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar Es Salaam juu ya shindano la Redd’s kanda ya temeke linalotarajiwa kufanyika katika ukumbi wa TCC Club Chang,ombe ijumaa ya juma hili.Kulia ni mkuu wa itifaki wa kamati ya Miss Tanzania,Albert Makoye.
Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania,Albert Makoye akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar Es Salaam juu ya shindano la Redd’s kanda ya temeke linalotarajiwa kufanyika katika ukumbi wa TCC Club Chang,ombe ijumaa Julai 5,2013.Wengine Pichani ni Mratibu wa shindano la Redd’s Miss Temeke Beny Kisaka na Msanii Ben Paul pamoja na Warembo watakao shiriki kinyang'anyiro hicho.
Warembo wanaowania taji la Redd’s Miss Temeke wakiwa katika picha ya pamoja na waandaaji wa shindano hilo sambamba na wasanii watakaotumbuiza siku hiyo Ben Paul na Luiza Mbutu wa bendi ya Twanga pepeta ambapo shindano hilo litafanyika katika ukumbi wa TCC Club Chang,ombe ijumaa Julai 5,2013.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad