HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 2, 2013

ziara ya rais obama nchini yamalizika leo

 Rais Barack Obama wa Marekani ameondoka nchini mchana huu,baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili iliyoanza jana.Rais Obama na mwenyezi wake Rais Jakaka Kikwete,leo walitembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Symbion iliopo Ubungo jijini Dar es Salaam na kuzindua rasmi mradi huo. 

PICHA ZAIDI ZITAWAJIA BAADAE KIDOGO

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad